UKURASA WA 466; Maisha Kama Mtihani…

By | April 10, 2016
Kama umeweza kusoma hapa basi nina uhakika umeshawahi kufanya mtihani au unajua mtihani maana yake nini. Na mitihani ipo ya aina nyingi, kulingana na mfumo wa maswali ulivyo kwenye mtihani husika. Kuna mtihani ambao unapewa majibu mengi na kuchagua jibu moja sahihi (multiple questions) na pia kuna mtihani ambao unapewa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz