UKURASA WA 470; KUWA. FANYA. PATA. TOA.

By | April 14, 2016
Huo ndiyo mzunguko wa maisha, ambao huwezi kuvuka hatua hata moja, ni lazima uanze hatua ya kwanza ndipo uende ya pili mpaka ya mwisho. KUWA. Ni lazima uwe mtu ambaye anaendana na kile ambacho unakitaka. Kama unataka kuwa na mafanikio, lazima uwe mtu ambaye anayaendea mafanikio. Lazima ujijengee tabia zinazoendana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz