UKURASA WA 494; Kikwazo Ndiyo Fursa Nzuri….

By | May 10, 2016
Moja ya vitu vinavyowafanya wengi kushindwa kuchukua hatua z akuboresha maisha yao ni vikwazo au changamoto wanazokuwa nazo au kukutana nazo. Muulize mtu yeyote ambaye amekuwa anasema anataka kuanza biashara ila haanzi, atakupa sababu nyingi sana kwa nini mpaka sasa hajaanza. Atakuambia mtaji, wazo, muda, usimamizi na kadhalika. Lakini sababu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz