UKURASA WA 501; Njia Mbili Za Kuwa Mbele Ya Wengine…

By | May 17, 2016
Katika jambo lolote ambalo unachagua kufanya, kuna wengine wengi ambao nao pia wanalifanya. Inawezekana umeanza kufanya kwa sababu uliona wengine wanafanya au wengine wamekuona wewe unafanya na wao wakaanza kufanya. Hivyo ushindani ni kitu ambacho huwezi kukikimbia. Kama unavyojua, kushindana moja kwa moja ni kitu ambacho sikushauri ufanye kwa sababu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz