FALSAFA MPYA YA MAISHA; Sisi Ni Bora Kuliko Wao, Uongo Tunaojidanganya Mara Zote Na Kuharibu Mahusiano Yetu Ya Kijamii.

By | July 17, 2016
Habari za leo mwanafalsafa mwenzangu? Ni imani yangu kubwa kwamba unaendelea vyema huku ukiyaendesha maisha yako kwa misingi ya falsafa tunayojifunza kila siku. Maisha bora, yenye furaha na mafanikio yanaanza na wewe mwenyewe, kwa kuishi vile ambavyo unapenda kuishi, kwa kufanya kile ambacho unaweza kukifanya vizuri. Duniani tupo watu tofauti,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: FALSAFA MPYA YA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz