UKURASA WA 570; Kazi Na Ajira…

By | July 23, 2016
Watu wengi wamekuwa wakichanganya kazi na ajira. Utasikia mtu akisema sina kazi ya kufanya, akimaanisha hajaajiriwa. Hii siyo sawa. Wacha tuliweke hili sawa ili tujue ni kipi hasa tunachohitaji. Ajira ni pale unapoambiwa nini ufanye. Mtu anakuajiri na kukupa majukumu yako ya kazi, ambayo unatakiwa kuyatekeleza. Hapo una ajira. Una

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz