UKURASA WA 576; Muda Mfupi Na Muda Mrefu…

By | July 29, 2016
Ni tabia ya binadamu kupenda vitu vya muda mfupi, vitu vinavyoonekana haraka. Ni sheria ya asili kwamba vitu vizuri haviji haraka, na mambo yote bora yanatokea kwa muda mrefu. Hapa ndipo unapoanzia mkanganyiko ambao unawazuia wengi kupata kile wanachotaka. Kumbuka mara zote unapokwenda kinyume na sheria za asili, unapoteza. Unapoangalia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz