UKURASA WA 581; Huenda Tatizo Siyo Juhudi…

By | August 3, 2016
Wote tunajua ya kwamba ili kufanikiwa kwenye jambo lolote, juhudi zinahitajika. Na tena siyo juhudi tu, bali juhudi kubwa. Hili halina ubishi. Lakini kuna watu wengi ambao wamekuwa wanaweka juhudi kubwa sana na hawayafikii mafanikio waliyokuwa wanayatazamia. Wapo watu wamefanya kazi siku saba za wiki, miezi 12 ya mwaka kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz