Tabia Moja Itakayokuwezesha Kudhibiti Matumizi Ya Fedha Zako.

By | May 16, 2017
Umewahi kununua kitu, halafu baadaye ukajikuta unajutia kununua kitu kile? Wakati unanunua ulijishawishi kabisa ya kwamba unakihitaji na umepata kwa unafuu, lakini baada ya kukinunua wala hujawahi kukitumia! Au umekitumia mara chache mno? Hali hii ipo sana kwenye vitu vidogo vidogo kama mavazi, pia tabia hii inawaathiri zaidi wanawake. Swali

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: FEDHA NA UWEKEZAJI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz