BIASHARA LEO; Kosa Kubwa Wanalofanya Wanaoanza Biashara…

By | September 3, 2017
Upo usemi kwamba mwanzo ni mgumu, na usemi huu unafanya kazi kwenye kila jambo, kuanzia ukuaji wetu mpaka shughuli zetu. Pata picha ya mtoto mdogo ambaye anajifunza kutembea, anasimama na kuanguka, anapiga hatua moja anaanguka. Lakini mtoto huyu hasemi kutembea ni kugumu basi naachana nako. Bali anaendelea na baada ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz