UWEKEZAJI LEO; Dalali Wa Soko La Hisa Ni Mtu Wa Aina Gani Na Jinsi Ya Kuchagua Dalali Mzuri.

By | September 28, 2017
Wengi wetu tunaposikia neno dalali tunajua ni mtu ambaye anafanya biashara ya kuuza vitu vya wengine, kwa kuongeza bei ili apate fedha. Kwa fikra hizi tuna mtazamo mbaya kuhusu madalali na kuona ni watu wanaolangua wengine. Hivyo tunaposikia tena kwenye soko la hisa kuna madalali, tunastuka na kukosa amani. Tunajiuliza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: UWEKEZAJI LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz