BIASHARA LEO; Ni hatua zipi zitakazofuata kwenye biashara yako?

By | October 30, 2017
Kitu kigumu kwa wengi huwa kimekuwa ni kuingia kwenye biashara. Wengi wanapata shida wakati wa kuchagua biashara gani wafanye na wapate wapi mtaji. Wakishavuka hatua hiyo na kuweza kuanza biashara, wengi huishia hapo. Biashara zao zinabaki kwenye ngazi ile ile ambayo walianzia na hazikui zaidi. Wanaendesha biashara zao kwa mazoea

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz