UKURASA WA 1054; Kwa Kuwa Haitaondoka, Basi Itumie…

By | November 19, 2017
Moja ya kikwazo kikubwa kwa wengi kufanikiwa ni hofu. Ni rahisi sana kupanga mambo ambayo mtu atafanya, ni rahisi kukaa chini na kuweka malengo na mipango. Lakini inapofika kwenye utekelezaji, ndipo wengi hushindwa kuchukua hatua kwa sababu ya hofu. Wengi hujiona bado hawajawa tayari, huona wanaweza kushindwa, watakataliwa au wataonekana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz