UKURASA WA 1057; Mkataba Hautakulinda, Uchaguzi Wa Watu Ndiyo Utakulinda…

By | November 22, 2017
Katika ushirikiano wetu na watu wengine, iwe ni kwenye kazi au biashara, tumekuwa tunapenda kuwa na mikataba ili kulinda haki na maslahi yetu. Lengo la mikataba limekuwa ni kulazimisha kila upande kutimiza wajibu wake, na kuepuka kufanya maamuzi yasiyo sahihi kwa mwingine. Watu wamekuwa wakikazana sana kupata mkataba, wakiamini mkataba

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz