#KURASA_KUMI ZA KITABU LEO; UNA JAMBO LA KUSHUKURU KWA KILA MTU KWENYE MAISHA YAKO.

By | December 2, 2017
KITABU; Meditations / Marcus Aurelius. UKURASA; 19 – 28. Kwenye maisha yetu, tumekutana na watu mbalimbali, kuanzia tunazaliwa mpaka tunakuwa watu wazima. Kila mtu ambaye tumewahi kukutana naye kwenye maisha yetu, ana mchango fulani kwa pale tulipo sasa. Ukianza na wazazi, ndugu wa karibu, walimu, marafiki na hata viongozi mbalimbali,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #KURASA_KUMI ZA KITABU KILA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz