#KURASA_KUMI ZA KITABU LEO; Muda Wa Maisha Yetu, Kifo Na Kilicho Muhimu Zaidi Kwetu.

By | December 4, 2017
KITABU ; Meditations / Marcus Aurelius. UKURASA; 29 – 38. Muda wa maisha yetu hapa duniani ni mfupi sana. Muda huu una ukomo, hivyo chochote ambacho mtu unapanga kufanya, ni vyema ukakifanya kwa muda ulionao sasa. Kuahirisha mambo na uvivu mwingine wowote wa kusema nitafanya, ni kujaribu kupoteza muda huu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #KURASA_KUMI ZA KITABU KILA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz