UKURASA WA 1099; Tofauti Ya Wabobezi Na Wachanga Kwenye Fani Mbalimbali…

By | January 3, 2018
Katika kila aina ya fani, kuna makundi mawili ya watu. Kuna watu ambao wamebobea kwenye fani hiyo, hawa ni wale ambao wameshajijengea majina kwenye kile wanachofanya. Hawa ni watu ambao watu wanawatafuta wanapokuwa na shida na wanatoa thamani kubwa. Pia kuna ambao ni wachanga, hawa ni watu ambao wanaingia kwenye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz