UKURASA WA 1146; Uaminifu Na Gharama…

By | February 19, 2018
Kwenye jambo lolote lile, iwe ni kazi, biashara na hata mahusiano, uaminifu na gharama zina uhusiano unaokwenda kwa utofauti. Yaani pale uaminifu unapokuwa mkubwa, basi gharama inakuwa ndogo na mambo yanakwenda haraka. Lakini uaminifu ukiwa mdogo, gharama zinakuwa kubwa na jambo linachukua muda sana kufikiwa maamuzi. Angalia hili na utaliona

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz