MUDA; Ufanye nini kwenye muda wa ziada uliotengeneza?

By | May 20, 2014
Wiki iliyopita tuliona jinsi ya kuweza kupata masaa mawili ya ziada kila siku. Masaa haya tuliyapata sio kwa miujiza bali kwa kubadilisha vipaumbele vyetu. Mara nyingi unajikuta unafanya mambo ambayo hayana msaada wowote kwako ila ndio umeyapa kipaumbele kikubwa. Katika njia nyingi za kupata muda wa ziada kila siku kuna

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz