3313; Kwa nini juhudi zako hazizai matunda.

By | January 26, 2024
3313; Kwa nini juhudi zako hazizai matunda.Rafiki yangu mpendwa,Ukiwaangalia wale wanaoshindwa na wanaofanikiwa, huwezi kuona tofauti kubwa sana kwa nje.Kwa sababu kama ni juhudi, wote wanaweza kuonekana wakiweka juhudi kubwa.Tena wakati mwingine wanaoshindwa wataonekana wanaweka juhudi kubwa kuliko hata wale wanaofanikiwa.Lakini bado juhudi hizo kubwa wanazokuwa wanaweka hazizai matunda. Hiyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz