Tag Archives: KIPAUMBELE

BIASHARA LEO; Fanya Kitu Hiki Kimoja Tu, Achana Na Vingine Vyote.

By | April 13, 2015

Kuna kitu kimoja ukikifanya kwenye biashara yako, utaleta mabadiliko makubwa sana. Utaikuza biashara yako na mambo mengine yote yatakwenda vizuri. Kwa kufanya kitu hiki kimoja na ukakifanya vizuri unajiweka wkenye nafasi ya kuweza kufikia mafanikio makubwa sana hata kama biashara unayofanya ina ushindani mkubwa. SOMA; Hiki Ndio Unachotakiwa Kufanya. Je (more…)

KIPAUMBELE; Uhusiano Kati Ya Mafanikio Makubwa na Kuweka Kipaumbele.

By | March 31, 2015

Kama tulivyoona kwenye makala zilizopita kwenye tabia hii ya kujiwekea kipaumbele, kuba faida nyingi sana za kujiwekea kipaumbele kwenye maisha yako. Tuliona jinsi ambavyo dunia ya sasa imejaa kelele nyingi hivyo kama hujachagua kitu kimoja cha kufanya utajikuta unafanya kila kinachojitokeza mbele yako. Leo katika makala hii kwenye kipengele hiki (more…)

KIPAUMBELE; Jinsi Ya Kuweka Kipaumbele Kwenye Maisha Yako.

By | March 17, 2015

Karibu kwenye kipengele hiki cha jinsi ya kujijengea tabia za mafanikio na mwezi huu wa tatu tunajijengea tabia ya kuweka kipaumbele kwenye maisha yetu. Tunaishi kwenye dunia yenye kelele nyingi sana, bila ya kuw ana kipaumbele unaweza kuona muda unakwenda huku hujafanya chochote cha maana. Katika makala hii ya leo (more…)

Umuhimu na faida za kuwa na kipaumbele kwenye Maisha.

By | March 11, 2015

Tunaishi kwenye dunia ambayo kuna vitu vingi sana vya kufanya lakini muda ni mfupi. Labda tusiseme muda ni mfupi, bali muda umekuwa ni ule ule tokea zamani ila siku hizi mambo ya kufanya yamekuwa mengi sana. Kadiri maendeleo ya teknolojia yanavyotokea, tunapata vitu vingi sana vya kufanya. Kwa mfano ukianza (more…)

TABIA ZA MAFANIKIO; Jinsi Ya Kujijengea Tabia Ya Kuweka Kipaumbele Kwenye Maisha Yako.

By | March 3, 2015

Miaka zaidi ya elfu moja iliyopita, kipaumbele pekee cha mwanadamu kilikuwa kula na kujilinda dhidi ya hatari. Katika nyakati hizo chakula kilikuwa kikipatikana kwa kuwinda au kuchimba mizizi. Hivyo mtu aliamka asubuhi akiwa na kipaumbele kikuu ambacho ni kutafuta chakula. Na usiku aliporudi kulala, kipaumbele kilikuwa kujilinda dhidi ya wanyama (more…)