1810; Umeshaenda Mbali Sana…
Leo naongea na wale watu ambao walichagua njia fulani, lakini sasa wanafikiria huenda kama wangechukua njia mbadala basi mambo yao yangekuwa rahisi kuliko sasa. Hawa ni wale watu ambao walikuwa na nafasi ya kuweza kuajiriwa au kujiajiri, wao wakakataa kuajiriwa na kuamua kujiajiri, lakini sasa kwenye kujiajiri wamekutana na magumu (more…)