Featured Article

MWONGO WA KUFIKIA UBILIONEA (2020 – 2030).

By | April 11, 2022

MWONGO WA KUFIKIA UBILIONEA (2020 – 2030). Muongo wa 2020 – 2030 ni muongo wa kufikia kiwango cha utajiri cha UBILIONEA kwenye KISIMA CHA MAARIFA. Hiki ni kipindi ambacho kila mwanachama anapaswa kufikia uhuru wa kifedha kwenye maisha yake. Ni kupitia uhuru huo wa kifedha ndipo kila mwanachama anaweza kuwa (more…)

3003; Piga makofi tafadhali.

By | March 22, 2023

3003; Piga makofi tafadhali. Rafiki yangu mpendwa,Wengi wetu tumelelewa kwenye mazingira ambayo hatujafundishwa kutambua, kuthamini na kusifia juhudi na hatua wanazopiga wengine. Pale tunapoona kuna wengine wamefanikiwa kuliko sisi kwenye jambo lolote lile, tunatafuta sababu ya kubeza uwezo ambao mtu ametumia kupata alichopata. Na hapo ndipo chuki zote dhidi ya (more…)

3002; Unajiangusha mwenyewe.

By | March 21, 2023

3002; Unajiangusha mwenyewe. Rafiki yangu mpendwa,Hakuna mtu yeyote anayeweza kukuangusha kwenye maisha yako isipokuwa wewe mwenyewe. Chochote unachotaka kwenye maisha na hujakipata, hakuna aliyekunyima ila wewe mwenyewe.Ni wewe ndiye unayejizuia kupata yale yote unayoyataka kwenye maisha yako. Na picha linaanzia pale unachotaka hakiendani na kile unachofanya.Unakuwa unataka makubwa sana, lakini (more…)

3001; Wape ushindi.

By | March 20, 2023

3001; Wape ushindi. Rafiki yangu mpendwa,Falsafa kuu ambayo ndiyo huwa naendesha nayo huduma zangu, ambayo nilijifunza kutoka kwa Zig Zigler inasema; unaweza kupata chochote unachotaka kwenye maisha yako, kama utawasaidia watu wengi zaidi kupata kile wanachotaka. Swali ni watu wengi wanataka nini ili uweze kuwapatia na wewe upate unachotaka?Jibu ni (more…)

2999; Mlango wa kutokea.

By | March 18, 2023

2999; Mlango wa kutokea. Rafiki yangu mpendwa,Kazi ya kujenga timu ambayo ndiyo kipaumbele chetu kikubwa kwa sasa siyo kazi rahisi.Ina changamoto za kila aina.Kuna makosa madogo madogo ambayo ukiyafanya yanakuwa kikwazo kikubwa kwako kujenga timu bora. Ili kuepuka makosa hayo kwenye kujenga timu, ni muhimu kuwa na hatua unazozifuata kwenye (more…)

2998; Amini.

By | March 17, 2023

2998; Amini. Rafiki yangu mpendwa,Kujenga timu bora ya kuendesha biashara kunahitaji watu.Na watu huwa wanapenda kumfuata mtu anayejua wapi anakwenda na ana amini atafika kule anakokwenda. Ili uweze kuwavuta watu sahihi kuja kwako, lazima uwe kiongozi mzuri, ambaye unajua unakokwenda na unaamini utafika unakokwenda.Watu wanataka uwe na imani isiyoyumba kuhusu (more…)

2997; Wingi na ubora.

By | March 16, 2023

2997; Wingi na ubora. Rafiki yangu mpendwa,Kwenye kila kitu tunachofanya, kuna njia mbili za kukiendea; wingi na ubora. Kwenye wingi unaangalia namba.Na kadiri namba inavyokuwa kubwa, ndivyo matokeo yanavyokuwa mazuri pia. Kwenye ubora unaangalia viwango.Kadiri viwango vinavyokuwa vya juu, ndivyo matokeo yanavyokuwa mazuri. Kwa bahati mbaya sana wingi na ubora (more…)

2996; Fanya vitu vya maana.

By | March 15, 2023

2996; Fanya vitu vya maana. Rafiki yangu mpendwa,Sisi binadamu tuna rasilimali tatu ambazo zina uhaba mkubwa sana. Rasilimali hizo ni muda, nguvu na umakini.Hizo ni rasilimali ambazo ukishaziweka kwenye kitu kimoja, huwezi kuziweka tena kwenye kitu kingine. Chochote unachofanya kwenye maisha yako, lazima utahusisha rasilimali hizo tatu, utaweka muda wako, (more…)

2995; Ongoza.

By | March 14, 2023

2995; Ongoza. Rafiki yangu mpendwa,Viongozi huwa wana kazi kuu moja, ambayo ni kuongoza.Na ili kuongoza vyema, huwa wanaondoa kila aina ya mashaka wanayokuwa nayo.Wanajitoa kweli kweli kwenye kile ambacho wanakifanya. Viongozi bora misimamo yao huwa inajulikana wazi.Kama wapo ndani basi wapo ndani moja kwa moja.Hawawi mguu mmoja ndani na nguu (more…)