1801; Anza Sasa, Boresha Baadaye…
Kusubiri mpaka uwe umekamilika ndiyo adui wa mafanikio ya wengi. Watu wengi wamekuwa wanasubiri sana, wazianze kitu mpaka pale wanapokuwa wamekamilika, wanapokuwa na kila kitu wanachotaka. Kwa bahati mbaya sana, hakuna wakati wowote kwenye maisha yako ambao utakuwa umekamilika na kuwa na kila unachotaka. Hivyo basi, kama unataka kutoka hapo (more…)