Tag Archives: NENO LA LEO

NENO LA LEO; Tulichozaliwa Nacho Na Tulichojifunza….

By | April 26, 2015

Love is what we were born with. Fear is what we learned here. -Marianne Williamson Upendo ndio kitu ambacho tulizaliwa nacho. Hofu ni kitu ambacho tumejifunza hapa duniani. Upendo utakuletea furaha kwenye maisha, upendo utakuwezesha kufanya kile unachopenda na kufanikiwa na upendo utakuwezesha kuishi na wengine vizuri. SOMA; Hivi Ndivyo (more…)

NENO LA LEO; Ufunguo Mkuu Wa Furaha.

By | April 25, 2015

Love is the master key that opens the gates of happiness. -Oliver Wendell Holmes Upendo ndio ufunguo mkuu unaofungua milango yote ya furaha. Umesoma vizuri hapo juu, upendo ndio ufunguo wa furaha, sio fedha nyingi, sio umiliki wa mali za kifahari na sio kutoka kwa mtu. Kama unataka kuw ana (more…)

NENO LA LEO; Hakuna Uhaba Wa Fursa, Kuna Uhaba Wa Kitu Hiki…

By | April 24, 2015

There is no scarcity of opportunity to make a living at what you love; there’s only scarcity of resolve to make it happen. -Wayne Dyer Hakuna uhaba wa fursa za kutengeneza kipato kwenye kile unachopenda; kuna uhaba wa wewe kuamua kufanya hivyo. SOMA; Njia Ya Uhakika Ya Kufikia Mafanikio Makubwa. (more…)

NENO LA LEO; Najua Umeshasikia Hili Mara Nyingi, Sio Vibaya Ukasikia Tena Na Leo.

By | April 22, 2015

I know you’ve heard it a thousand times before. But it’s true – hard work pays off. If you want to be good, you have to practice, practice, practice. If you don’t love something, then don’t do it. -Ray Bradbury Najua umeshasikia hili mara elfu moja kabla. Lakini ni kweli- (more…)

NENO LA LEO; Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuishi Maisha Yako Kwa Ukamilifu.

By | April 21, 2015

Work like you don’t need the money. Love like you’ve never been hurt. Dance like nobody’s watching. -Satchel Paige Fanya kazi kama vile huhitaji fedha. Penda kama vile hujawahi kuumizwa. Cheza kama vile hakuna anayekuangalia. Ukiweza kufanya mambo hayo matatu, utaishi maisha yako na mafanikio yatakuwa yako. SOMA; Hii Ndio (more…)

NENO LA LEO; Kama Hutaki Kuwa Na Maadui Fanya Kitu Hiki Kimoja.

By | April 20, 2015

He who falls in love with himself will have no rivals. -Benjamin Franklin Yule anayejipenda mwenyewe hawezi kuwa na maadui/wapinzani. SOMA; Siri Za Kuwa Mjasiriamali Bora Na Kufikia Mafanikio Makubwa. Njia moja ya uhakika ya kuepuka kuwa na maadui ni kujipenda wewe mwenyewe. Unapojipenda wewe mwenyewe utawapenda na wengine pia. (more…)

NENO LA LEO; Hii Ndio Sifa Muhimu Ya Mtu Unayetakiwa Kumuajiri.

By | April 19, 2015

Do not hire a man who does your work for money, but him who does it for love of it. -Henry David Thoreau Usimuajiri mtu anayefanya kazi yako kwa sababu tu anataka fedha, bali ajiri yule anayeifanya kwa sababu anaipenda. Fedha sio hamasa nzuri ya kufanya kazi. Hii ni kwa (more…)

NENO LA LEO; Njia Ya Uhakika Ya Kufikia Mafanikio Makubwa.

By | April 18, 2015

If you want to be successful, it’s just this simple. Know what you are doing. Love what you are doing. And believe in what you are doing. -Will Rogers Kama unataka kufikia mafanikio, ni rahisi kama hivi. Jua ni nini unafanya. Penda kile unachofanya. Na pia amini kile unachofanya. SOMA; (more…)

NENO LA LEO; Unachotakiwa Kusema Na Unachotakiwa Kufanya.

By | April 17, 2015

I say what I want to say and do what I want to do. There’s no in between. People will either love you for it or hate you for it. –Eminem Nasema kile ninachotaka kusema na nafanya kile ninachotaka kufanya. Hakuna kuwa kati kati(vugu vugu). Watu watakupenda au kukuchukia kw (more…)