3312; Hatua na matokeo.

By | January 25, 2024
3312; Hatua na matokeo.Rafiki yangu mpendwa,Matokeo tunayoyapata mwenye maisha yanatokana na hatua tunazochukua.Lakini watu wengi huwa wanasahau hilo na kuyaangalia matokeo yenyewe.Na kama matokeo hayawafurahishi, hawajitathmini kwenye hatua walizochukua, bado wanaangalia nini kingine wafanye ili kupata matokeo wanayotaka.Mara nyingi sana, pale mtu anapokosa matokeo aliyokuwa anayataka, mahali pa kuanzia siyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz