TABIA ZA MAFANIKIO; Tabia Ya Kujisomea.

By | June 3, 2014
Mpendwa msomaji na mwanachama wa KISIMA CHA MAARIFA karbu kwenye huu utaratibu wa kujijengea tabia za mafanikio. Katika utaratibu huu kila mwezi tunajadili tabia moja muhimu ili kuweza kufikia malengo tuliyojiwekea na kufanikiwa. Ni ukweli usiopingika kwamba mafanikio hayaji kwa bahati mbaya. Mafanikio yanatengenezwa kidogo kidogo kulingana na tabia za

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz