TABIA ZA MAFANIKIO; Kujijengea Tabia Ya Kujiamini.

By | October 7, 2014
Karibu tena msomaji wa KISIMA CHA MAARIFA kwenye kipengele hiki cha KUJIJENGEA TABIA ZA MAFANIKIO. Kwa miezi mitano iliyopita tumejifunza jinsi ya kujijengea tabia muhimu sana ili kuweza kufikia mafanikio makubwa. Tabia tulizojifunza mpaka sasa ni; tabia ya kujisomea, tabia ya kutumia vizuri muda, tabia ya kutunza na kutumia vizuri

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz