KIPAUMBELE; Jinsi Ya Kuweka Kipaumbele Kwenye Maisha Yako.

By | March 17, 2015
Karibu kwenye kipengele hiki cha jinsi ya kujijengea tabia za mafanikio na mwezi huu wa tatu tunajijengea tabia ya kuweka kipaumbele kwenye maisha yetu. Tunaishi kwenye dunia yenye kelele nyingi sana, bila ya kuw ana kipaumbele unaweza kuona muda unakwenda huku hujafanya chochote cha maana. Katika makala hii ya leo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz