KUJISOMEA; Unapata Wapi Muda Wa Kujisomea Na Unapataje Vitabu Vya Kujisomea?

By | June 10, 2014
Habari za leo ndugu msomaji? Naamini unaendelea vizuri na harakati za kuboresha maisha yako. Hata kama huendelei vizuri, muda sio mzrefu mambo yako yatakuwa vizuri. Badili mtazamo wako na acha kujiona mwenye hatia. Wewe ni mshindi, ulizaliwa kuwa mshindi. Usikubali tena kuendelea kuwa mtumwa wa mawazo ya watu wengine. Karibu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz