KUJISOMEA; Jinsi Unavyoweza Kusoma Vitabu Vingi Ndani Ya Muda Mfupi Na Kuelewa Zaidi.

By | June 17, 2014
Mimi huwa nasoma angalau kitabu kimoja kila wiki na wakati mwingine nasoma vitabu viwili au zaidi ndani ya wiki moja. Sitaki kurudia ni faida gani naipata kwenye kusoma vitabu hivi kwa sababu nilishaeleza sana kwenye makala; hivi ndivyo tabia ya kupenda kujisomea ilivyoninufaisha, inawezekana hata kwako pia. Watu wengi huwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz