SIKU YA 20; Siri Saba Zinazotumiwa Na Watu Wenye Mafanikio Makubwa.

By | September 20, 2014
Katika tafiti mbalimbali zilizofanywa kwa watu matajiri na wenye mafanikio makubwa imeonekana kwamba karibu kila mmoja ambaye amefikia mafanikio makubwa ametumia siri saba kufikia mafanikio hayo. Leo tutajifunza siri hizo saba na kama ukianza kuzitumia hakuna kitakachoweza kukuzuia kufikia mafanikio makubwa. 1. Malengo na maono makubwa. Watu wote waliofanikiwa walikuwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SIKU 30 ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz