Mambo Yamebadilika, Hatari Sio Hatari Tena, Salama Ndio Hatari…

By | February 11, 2015
Kuna wakati ambapo ilikuwa inaonekana kuacha kazi na kuingia kwenye ujasiriamali ni hatari kubwa sana. Ajira zilikuwa na usalama, angalau mtu alikuwa na uhakika wa kupata kipato cha kumtosha kuendesha maisha yake. Ila sasa hivi mambo yamebadilika kabisa, hatari sio hatari tena, na salama imekuwa hatari, tena hatari kweli kweli.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz