Category Archives: THINK AND GROW RICH

THINK AND GROW RICH: Hatua Ya Sita Ya Kuelekea Kwenye Utajiri; Sababu 30 Zinazowafanya wengi Kushindwa.

By | March 13, 2015

Jambo kubwa la kushangaza kuhusu maisha ni kwamba kuna watu wengi sana ambao wamejaribu kutafuta mafanikio kwenye maisha yao ila wameshindwa. Cha kushangaza ziadi ni kwamba wanaoshindwa ni wengi sana kuliko wale wanaofanikiwa. Asilimia 98 ya watu wanaojaribu kupata mafanikio wanaishia kushindwa. Kuna tatizo kubwa sana kwenye mfumo wa maisha (more…)

THINK AND GROW RICH: Hatua Ya Sita Ya Kuelekea Kwenye Utajiri; Mpango Ulioandaliwa Vizuri – 1.

By | March 5, 2015

Tunaendelea na uchambuzi wa kitabu THINK AND GROW RICH, leo tutachambua sehemu ya hatua ya sita ya kufikia utajiri ambayo ni Kuwa na mpango ulioandaliwa vizuri. Kupata makala zilizopita za uchambuzi wa kitabu hiki bonyeza hayo maandishi ya jina la kitabu. Mpaka sasa umejifunza ya kwamba kitu chochote mtu anachotengeneza (more…)

THINK AND GROW RICH: Hatua Ya Tano Ya Kuelekea Kwenye Utajiri; Kujitengenezea Taswira – 2.

By | February 19, 2015

JINSI YA KUTUMIA KUJIJENGEA TASWIRA KIUHALISIA. Mawazo ndio chanzo kikuu cha utajiri wote. Mawazo ni zao la kujijengea taswira. Mfano wa mawazo yaliyoleta mapinduzi na kuleta utajiri mkubwa. Miaka mingi iliyopita, daktari mmoja wa kijijini aliingia kwenye duka la dawa mjini akiwa amebeba birika lake. Alipofika kwenye duka lile alianza (more…)

THINK AND GROW RICH: Hatua Ya Tano Ya Kuelekea Kwenye Utajiri; Kujitengenezea Taswira – 1.

By | February 12, 2015

Kujijengea taswira ndio sehemu kuu ambapo akili ya mtu inaweza kutengeneza mipango yote. Hamu ya kufikia mafanikio inatengenezewa umbo, kupewa sura na kufanyiwa kazi kupitia uwezo huu wa kujijengea taswira. Imekuwa ikielezwa kwamba mtu anaweza kutengeneza chochote anachoweza kufikiria na kutengenezea taswira. Katika miaka yote ambayo imepita, hiki ni kipindi (more…)

THINK AND GROW RICH: Hatua Ya Nne Ya Kufikia Utajiri; Maarifa, Uzoefu Na Uchunguzi–2.

By | February 6, 2015

Tunaendelea na uchambuzi wa kitabu THINK AND GROW RICH kama umekosa uchambuzi wa nyuma bonyeza hayo maandishi. Tuko kwenye uchambuzi wa hatua ya nne ya kufikia utajiri ambayo ni kupata maarifa, uzoefu na hata kufanya uchunguzi wako binafsi. Kuna udhaifu mkubwa sana kwa watu ambao hauna dawa. Udhaifu huu ni (more…)

THINK AND GROW RICH: Hatua Ya Nne Ya Kufikia Utajiri; Maarifa, Uzoefu Na Uchunguzi – 1.

By | February 5, 2015

Tunaendelea na uchambuzi wa kitabu THINK AND GROW RICH kama hukusoma makala za uchambuzi uliopita bonyeza maandishi haya THINK AND GROW RICH. Kuna aina mbili za maarifa, maarifa ya kawaida na maarifa ya kitaalamu. Maarifa ya kawaida hata ungekuwa nayo mengi kiasi gani, hayawezi kukusaidia kufikia utajiri. Haya ni maarifa (more…)

THINK AND GROW RICH; Hatua Ya Tatu Ya Kufikia Utajiri; Kufikia Akili yako ya ndani – 2

By | January 30, 2015

Kwa wewe kuwa tayari kusoma na kujifunza kupitia kitabu hiki ina maana kwamba unahitaji elimu hii muhimu itakayoboresha maisha yako. Na ili uweze kupata elimu hii na iweze kukusaidia ni lazima uwe tayari kuvpokea vile unavyojifunz ana kuvifanyia kazi. Pia ni lazima ufuate maelekezo yote unayojifunza. Ukichagua kufuata baadhi na (more…)

THINK AND GROW RICH; Hatua ya Tatu Ya Kufikia Utajiri; Kufikia akili yako ya ndani – 1

By | January 29, 2015

Akili ya binadamu imegawanyika katika sehemu tatu, kuna akili inayofikiri na kufanya maamuzi (conscious mind), kuna akili isiyofikiri wala kufanya maamuzi ila inapokea kila taarifa inayoingizwa(subconscious mind) na kuna akili ya juu kabisa inayotawala akili hizi(superconscious mind). Akili ya ndani ambayo haifanyi maamuzi ina nguvu kubwa sana ya kuwez akupokea (more…)

THINK AND GROW RICH; Hatua Ya Pili Ya Kuelekea Kwenye Utajiri, IMANI–2.

By | January 23, 2015

Tunaendele ana sehemu ya pili ya uchambuzi huu wa hatua ya pili ya kuelekea kwenye utajiri. Hatua hii ni imani, katika makala iliyopita tumeweza kuona jinsi imani inavyoweza kukuletea mambo makubwa. Huu hapa ndio ukweli kuhusu imani na mafanikio; Mawazo ambayo yamechanganywa na hisia na imani yanatengeneza nguvu ya sumaku (more…)

THINK AND GROW RICH; Hatua Ya Pili Ya Kuelekea Kwenye Utajiri, IMANI – 1

By | January 22, 2015

Imani ndio kiungo kikuu cha akili. Pale imani inapochanganywa na mawazo yenye hamasa, akili inachukua mawazo hayo na kuyafanyia kazi. Kwa njia hii inakuwezesha wewe kufikia kile unachotaka. Hisia za IMANI, UPENDO na MAPENZI ni hisia zenye nguvu kubwa sana kwa binadamu. Hisia hizo tatu zinapochanganywa pamoja, zinamwezesha mtu kuweza (more…)