UKURASA WA 528; Watakie Watu Mema Na Furaha…

By | June 13, 2016
Tuliona ya kwamba watu wanaokuzunguka wanataka wewe ushindwe, hasa pale unapopanga kufanya mambo makubwa, ambayo wao hawakuweza kufanya. Lakini hili halitokei kwa wengine pekee, hata kwako pia linatokea. Kuna nyakati ambapo unatamani mtu ashindwe au apate changamoto kwenye jambo analofanya. Hasa pale anapojaribu kufanya jambo kubwa, au anapopingana na kile

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz