UKURASA WA 621; Furahia Vikwazo Unavyokutana Navyo…

By | September 12, 2016
Unaweza usielewe lakini unatakiwa kufurahia vikwazo unavyokutana navyo kwenye safari yako ya kuelekea kwenye mafanikio makubwa. Iwe ni kwenye kazi, biashara na hata maisha kwa ujumla. Kwa nini? Kwa sababu vikwazo hivyo ndiyo vinawazuia wengi kufanikiwa. Vikwazo hivyo ndiyo vinawafanya wengi kukata tamaa na kushindwa kuchukua hatua. Vikwazo hivi ndiyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz