MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1469; Huo Muda Utapita Tu…
Pale ambapo tunahitaji kufanya kitu kikubwa ambacho kinahitaji muda mrefu ili kuona matokeo yake, huwa tunasita na kuona muda tunaopaswa kuweka ni mrefu sana. Mfano ni pale mtu anapoona fursa ya kuingia kwenye biashara, lakini ambayo itamhitaji muda kujenga misingi ili iweze kumlipa baadaye, labda miaka mitatu ijayo. Kwa kuona