MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1472; Fedha Na Uhuru…
Huwa tunafikiri ukishapata fedha ndiyo unakuwa huru. Lakini wengi wanaokazana kupata fedha ili wawe huru, wanagundua kadiri wanavyopata fedha zaidi ndivyo wanavyokosa uhuru zaidi. Hivyo fedha haileti uhuru, badala yake uhuru ndiyo unaleta fedha. Na hapa tunazungumzia ule uhuru wa kawaida wa maisha, na siyo uhuru wa fedha. Uhuru wa