1472; Fedha Na Uhuru…

By | January 11, 2019
Huwa tunafikiri ukishapata fedha ndiyo unakuwa huru. Lakini wengi wanaokazana kupata fedha ili wawe huru, wanagundua kadiri wanavyopata fedha zaidi ndivyo wanavyokosa uhuru zaidi. Hivyo fedha haileti uhuru, badala yake uhuru ndiyo unaleta fedha. Na hapa tunazungumzia ule uhuru wa kawaida wa maisha, na siyo uhuru wa fedha. Uhuru wa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz