MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1528; Kitu Kimoja Unachopaswa Kuangalia Kwenye Kila Hadithi Ya Mafanikio…
Huwa tunapenda sana kufuatilia hadithi za mafanikio ya wengine. Zinatupa hamasa na matumaini makubwa kwamba kama wengine wameweza na sisi tunaweza pia. Na tunapoangalia kwamba walianzia chini kuliko sisi, na wakapitia magumu kuliko sisi, basi tunakuwa hatuna sababu kwa nini na sisi tusifanikiwe kama wao. Na hili limefanya hadithi za