MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1593; Ijue Nguvu Ya Maneno Unayoyatumia Kila Siku…
Tumekuwa tunatumia maneno kwa mazoea na huwa hatuchukui hata sekunde chache kupima nguvu ya maneno hayo. Kinachotokea ni kwamba baadhi ya maneno ambayo tumekuwa tunayatumia yamekuwa kikwazo kwetu kupiga hatua. Kwa kutumia baadhi ya maneno, tumekuwa tunajiwekea ukomo wenyewe. Na baadhi ya maneno yanatupa hamasa ya kupiga hatua zaidi, yanatuonesha