1612; Safari Ya Mafanikio Ni Safari Ya Imani Na Kujidanganya Pia…

By | May 31, 2019
Safari ya mafanikio ni safari ngumu sana kwa wengi kwa sababu inahitaji imani zaidi na kujidanganya pia. Kwa kuwa wengi hawajiamini wao wenyewe, safari hii inakuwa ngumu kwao. Na pia kwa kuwa wengi hawapo tayari kujidanganya (kwa nia nzuri) basi wanashindwa kabisa kupiga hatua. Aliyekuwa bondia bora kabisa duniani Mohamad

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz