MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1629; Kama Fursa Haiwezi Kusubiri Miezi Sita Siyo Fursa Sahihi Kwako…
Fursa mpya zinazoibuka kila siku zimekuwa kikwazo kwa wengi kufanikiwa. Tulitegemea uwepo wa fursa nyingi uwe kichocheo cha wengi kufanikiwa, lakini matokeo yamekuwa kinyume. Kadiri fursa zinavyokuwa nyingi, ndivyo wachache sana wanafanikiwa. Na sababu kubwa ni kushindwa kuchagua fursa sahihi mtu kufanyia kazi na kusema hapana kwa fursa nyingine zinazoweza