MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1635; Fedha Na Kusudi La Maisha…
Ukiwa huna fedha, kitu muhimu zaidi kwako kinakuwa fedha. Hivyo haishangazi pale unapoweka juhudi zako zote kwenye kutafuta fedha, maana huna unachoweza kufanya kwenye maisha bila ya kuwa na fedha. Lakini pia hiki ni kipindi hatari sana kwako, kwa sababu unapopeleka nguvu zako zote kwenye fedha unasahau vitu muhimu kwenye