1635; Fedha Na Kusudi La Maisha…

By | June 23, 2019
Ukiwa huna fedha, kitu muhimu zaidi kwako kinakuwa fedha. Hivyo haishangazi pale unapoweka juhudi zako zote kwenye kutafuta fedha, maana huna unachoweza kufanya kwenye maisha bila ya kuwa na fedha. Lakini pia hiki ni kipindi hatari sana kwako, kwa sababu unapopeleka nguvu zako zote kwenye fedha unasahau vitu muhimu kwenye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz