MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1758; Mbinu Na Mkakati…
Watu wamekuwa wanatafuta sana mbinu za mafanikio. Wanaamini mbinu hizo zitawawezesha kupiga hatua kubwa. Ni kweli mbinu zinaweza kuleta matokeo ya tofauti, lakini mbinu ni kitu cha muda mfupi. Mbinu inaweza kutumiwa na yeyote na kama huna njia nyingine, washindani wako wanaweza kuitumia kukusumbua. Unachohitaji ili kufanikiwa siyo mbinu, bali