1767; Kuona, Kufikiri Na Kuongea…

By | November 2, 2019
Mtu mmoja mwenye busara amewahi kusema maneno haya; “katika watu 100 wanaoweza kuongea, ni mmoja pekee anayeweza kufikiri, katika watu 1000 wanaoweza kufikiri, ni mmoja pekee anayeweza kuona”. Ni kauli ngumu na tata ambayo huwezi kuielewa kwa sababu ya alichokieleza mtu huyo. Kwa kifupi ni kwamba kila mtu anaweza kuongea,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz