MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1772; Kinachopelekea Hufanyii Kazi Maamuzi Yako…
Watu wengi wamekuwa wanafanya maamuzi mengi kwenye maisha yao, lakini hawayatekelezi, na hilo linawazuia wasipige hatua kwenye maisha yao. Hii inatokana na tabia ya watu wengi kupenda kuyahoji na kuyapa changamoto maamuzi yao, hasa pale wanapokutana na ugumu katika kutekeleza maamuzi hayo. Mtu anaamua kwamba ataingia kwenye biashara fulani, lakini