1795; Siyo Kukariri…

By | November 30, 2019
Kadiri maendeleo yanavyotokea kwenye sayansi na teknolojia, ndiyo mfumo wa elimu unavyozidi kuachwa nyuma. Mfumo huu wa elimu unaotumika sasa, umeweka mkazo mkubwa kwenye kukariri yale ambayo mtu anapaswa kuyajua na ambayo atakwenda kuyatumia kwenye kazi zake. Hili lilikuwa muhimu kipindi cha nyuma, ambapo haikuwa rahisi kupata maarifa na taarifa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz