MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1807; Kupata Unachotaka…
Naamini umewahi kusikia ushauri huu, unaweza kupata chochote kile unachotaka kwenye maisha yako, au kuwa yeyote yule unayetaka kuwa. Ukaambiwa kwa hamasa kubwa na kuamini kwamba hilo linawezekana. Ni kweli kabisa kwamba linawezekana, ila halitawezekana kama utaendelea kuishi kama unavyoishi sasa. Ili kupata unachotaka, unahitaji kuishi tofauti kabisa na unavyoishi