MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1984; Kinachokuponza Ni Kulinganisha…
Dalali akitaka ununue au kulipia kitu, huwa anakutengenezea njia ya kufanya ulinganisho, ambao utakupelekea kufanya maamuzi anayotaka yeye. Chukua mfano unataka kupanga nyumba na unaenda kwa dalali, ambaye unamweleza mahitaji yako kwenye nyumba unayotaka kupanga. Moja kwa moja atajua katika nyumba alizonazo ipi itakufaa. Lakini hatakupeleka kwenye nyumba ile moja