1991; Uko Tayari Kuanza…

By | June 13, 2020
Moja ya vitu vinavyowazuia wengi kuanza yale waliyopanga kuanza, ni kuona bado hawajawa tayari. Wengi wamekuwa wakiona bado hawajajifunza vya kutosha, au kuna kitu bado hawajajua, hivyo wanasubiri mpaka wajue kila kitu ndiyo waanze. Huku ni kujidanganya na kuficha ukweli kwamba haujawa tayari kuanza. Ukweli ni kwamba, tayari unajua kiasi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz