2041; Usijidanganye, Siyo Dakika Moja…

By | August 2, 2020
Fikiria unafanya kazi ambayo inahitaji umakini wako, ghafla unaingia ujumbe kwenye simu yako. Unajiambia utauangalia na kuujibu kisha kurudi kwenye kazi yako, itakuchukua dakika moja tu. Hapo jua wazi kwamba unajidanganya, siyo dakika moja utakayotumia kuangalia na kujibu ujumbe kisha kurudi kwenye kazi, itakuchukua muda mrefu zaidi ya hapo. Kitendo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz